UNCTAD: Tanzania yet to graduate from LDC (Least developed countries)

UNCTAD: Tanzania yet to graduate from LDC (Least developed countries)

LDC [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
LDC [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
LDC [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]View attachment 1861753

IMG_2414.jpg
 
Screenshot_20211030-085725.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20211030-085828.jpg
    Screenshot_20211030-085828.jpg
    33.2 KB · Views: 1
This is so sad, tumezungukwa na mataifa maskini tupo wapweke hapo kwenye ramani, sijui mbona hawa majirani wazembe hivi.
Sana sana hapo kwa HDI. Human development index ndo kipimo kamili cha kuonyesha maendeleo ya kila mwanainchi.
 
This is so sad, tumezungukwa na mataifa maskini tupo wapweke hapo kwenye ramani, sijui mbona hawa majirani wazembe hivi.
Hapo Kenyaland mali zote ni za wazungu nyinyi nyang'ao ni wabeba mizigo na kusafisha vyoo tu.
 
Hapo Kenyaland mali zote ni za wazungu nyinyi nyang'ao ni wabeba mizigo na kusafisha vyoo tu.

Sijajua huwa mnakwama wapi, kwa Somalia na Sudan nitawaelewa maana vita hawajambo kila siku, lakini nyie sijui ni uongozi mbovu wa CCM au ni nyie wazembe au shida nini haswa, iweje muwe na kila aina ya raslimali lakini bado mpo maskini wa kutupwa.
Kipindi kle mlikua mnaua na kuchinja albino, nilijua hiyo laana ndio huwatafuna, ila sijaskia hivyo visa muda sasa, au itakua hiyo laana haijapoa au labda mnachinja kimya kimya.
 
Sijajua huwa mnakwama wapi, kwa Somalia na Sudan nitawaelewa maana vita hawajambo kila siku, lakini nyie sijui ni uongozi mbovu wa CCM au ni nyie wazembe au shida nini haswa, iweje muwe na kila aina ya raslimali lakini bado mpo maskini wa kutupwa.
Tunayazuia majambazi mabeberu kuiba raslimari zetu ndiyo maana yanawivu na sisi. TZ hatuna mtaa wa mabanda kama kwenu pale ndipo walipo Wakenya halisi.
 
Tunayazuia majambazi mabeberu kuiba raslimari zetu ndiyo maana yanawivu na sisi. TZ hatuna mtaa wa mabanda kama kwenu pale ndipo walipo Wakenya halisi.

Mnayazuia au yanawanyonya kila siku kwenye hilo shamba la bibi, na ndio maana mumejaza omba omba wenu Kenya, nyie ndio nchi pekee Afrika yote ambayo raia wake wanavuka mpaka kwenda kuwa omba omba.
 
Mnayazuia au yanawanyonya kila siku kwenye hilo shamba la bibi, na ndio maana mumejaza omba omba wenu Kenya, nyie ndio nchi pekee Afrika yote ambayo raia wake wanavuka mpaka kwenda kuwa omba omba.
unataka kutudanganya kenya Hakuna maskini? Kenya ni Switzerland?

hata California na New York kuna omba omba
 
Kwa wale msiofahamu Tanzania ni kubwa karibu mara mbili ya kenya kwa eneo na Ina idadi kubwa ya watu kuliko kenya kama watu 10 mil zaidi

Kuna asilimia chache ya maeneo umeme , maji , barabara , shule , mawasiliano na huduma nyingine bado
Baada ya miaka 2 itakuwa hadithi nyingine
 
TANZANIA is yet to graduate from the group of Least Developing Countries (LDCs). This is due to delayed efforts to combat malpractices and eradicate donor dependence on the country's budget.

The acting UN Resident Coordinator, Mr Michael Dunford said that economic growth comes due to strides made by the government to safeguard national resources by intensifying the fight against all forms of corruption, combating drug trafficking and strengthening discipline and accountability in the public sector.

Mr Dunford, who was delivering a welcoming note during the launch of United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD), Least Developing Countries Report 2019 in Dar es Salaam on Thursday, went on to show other factors which were promoting Tanzania's development.




View attachment 1849768

Bro kuna kitu kinaitwa scenario analysis.
Kweli kwa akili yako nchi inayojitosha kwa chakula kuliko nchi yoyote Afrika eti ni lcd!!? Kweli inapatana na akili yako hiyo!!??
😛 😛 😛

 
Back
Top Bottom