Mworombo01
Senior Member
- Nov 9, 2016
- 113
- 82
Wadau habarini, naomba mwenye uelewa wa biashara ya UBER anisaidie mawili matatu ikiwa ni pamoja na uzuri na hasara zake.
Nataja kuwekeza sekta hiyo.
Natanguliza shukrani
Nataja kuwekeza sekta hiyo.
Natanguliza shukrani