Undava wa Nyosso: Haji Manara naye alalamika kusukumwa bila sababu baada mpira kumalizika

Undava wa Nyosso: Haji Manara naye alalamika kusukumwa bila sababu baada mpira kumalizika

Umeuliza tatizo ni nini au unatokwa povu tu,,Nyoso si chizi ampige mtu bila sababu
Kwahivyo kama kuna sababu ndo unaruhusiwa kumpiga mtu? Acha mahaba kwa huyo chizi. Na kama vipi mpelekee chai huko mahabusu
 
Umeuliza tatizo ni nini au unatokwa povu tu,,Nyoso si chizi ampige mtu bila sababu
Ni chizi kwa sababu alishindwa kuzuia hasira zake za kijinga na kihuni. katoka kula ban ya miaka miwili leo anapiga shabiki, nani atataka kumwajili tena mhuni kama huyu.
 
Kweli mpira ni mchezo wa wendawazimi damu ila bongo wachezaji ni vichaa ata damu isipochemka ndo mana wanashidwa kufika mbali nidhamu mbovu
 
Back
Top Bottom