Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,020
Aisee ukiwatizama unaweza fikiria ni under 23 maumbo makubwa mpaka unajiuliza kule kwao wanalishwaga nn?
Nipo naangalia mechi ya serengeti boys na cameroon ila mijaamaa imeshiba kinyama. Yani wachezaji wa serengeti boys wakienda kukaba wanaanguka wenyewe.
Nipo naangalia mechi ya serengeti boys na cameroon ila mijaamaa imeshiba kinyama. Yani wachezaji wa serengeti boys wakienda kukaba wanaanguka wenyewe.