Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 836
- 312
kikikiki umewaza nini nkuungoja nifungue wa wale wote ambao wamebuma kwenye kilimo, hasa cha matikiti!🙄🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kikikiki umewaza nini nkuungoja nifungue wa wale wote ambao wamebuma kwenye kilimo, hasa cha matikiti!🙄🙄🙄
Miss na wewe ni under au?ha haha mkuu usijali we komaa nasi tu ndiyo kujifunza .. usiogope kusemwa atii ndiyo maisha
haa haaUmemaliza homework?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mnoohao watu kila tukiomba ushauri wanatuambia ngojeni shule zifungue wanatunyanyapaa sana.
Dah... Shule zimefungwa bado? [emoji15]Mkuje humu acheni kujadili mambo ya wazee.
me ni over 30Miss na wewe ni under au?
mkuu na wewe ni under twenty?Hamna tunatoboa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha mbali sana mkuu dahOy mmelala au mko prepo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole dogo hapa duniani huwezi kukwepa unyanyapaa. Tutawanyanyapaa tu maana hata sisi tukizeeka mtatunyanyapaaHahahaa yale yale tuu.. hadi huku wanakuja kunyanyapaa dah noma....