CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Nyagei na wewe ni under 20[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Dah noma inabid tumbane na hali zetu tuu....[emoji16][emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] pole dogo hapa duniani huwezi kukwepa unyanyapaa. Tutawanyanyapaa tu maana hata sisi tukizeeka mtatunyanyapaa
Mimi hapa under 20 [emoji13] [emoji13]Uongo mbaya nazengea huu uzi tangu unaanzishwa nione under 20 binti ila patupu.
Jamani mnikumbuke
Nitaanza kukustalk tafadhali usinikimbieMimi hapa under 20 [emoji13] [emoji13]
Hahahaa siku unaibuka unakutana na mwanamama wa kutosha kukuzaa utajuta[emoji23] [emoji23]Nitaanza kukustalk tafadhali usinikimbie
Pm kufanya niniNjoo pm mamaaπππ
Haahaha ni bora hivyo mnaweza kuyapanga shida ni nikutane na kidume ndevu nyingi kama hana pesa ya kunyolea....Hahahaa siku unaibuka unakutana na mwanamama wa kutosha kukuzaa utajuta[emoji23] [emoji23]
Hahaa itabidi mpange biashara nyingine..ya kulima matikiti[emoji23] [emoji23]Haahaha ni bora hivyo mnaweza kuyapanga shida ni nikutane na kidume ndevu nyingi kama hana pesa ya kunyolea....
Aaah wapi anivizie wakati nimeinama kung'oa magugu? Hapana kwa kweli nitamshukuru na kuondokaHahaa itabidi mpange biashara nyingine..ya kulima matikiti[emoji23] [emoji23]