I am civil-mining engineer.
Kama uko nje ya nchi , make sure you find a topic that is compatible with our level of tehcnology.
Kama uko Tanzania, is good,
1. Find out, or engage with Baraza la mitihani uone ni kwa namna gani, kwa gharama gani, na faida tunaweza, tukaandaa networking system between secondary schools. Then hiyo networking hiyo itasaidia kuwa na uwezo wa ku-print mitihani at the same time. lengo ni kuzuia uvujaji wa mitihani.
Sio lazima shule zote unaweza ukanza na shule chache
2. Fanya namna ya wananchi kuweza kupiga kura 'screen touch' then matokea ya kupiga kura hayatasubiri siku moja au mbili, watu wanamaliza kupiga kura , tunajua matokeo.
3. kwenye mobile phone kuna huduma nyingi,kama yellow pages, kupata meseji za verses za love, bible au quran, I believe we may have many related services hat you can think of......,
Pia nenda serikalini, lots of department need database, say
uzazi na vifo
mambo ya ndani(waombaji wa passport)
Criminal records
Colleges
n.k
Note that I am not aware about IT and in general
However;
cheers