Unategemea na usafiri unaotumiaHivi nikitaka kwenda mbagala kutokea masaki napita njia gani vile ????!!
Sijui kidhungu !!!
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
Nipo kwa miguu mkuu..[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unategemea na usafiri unaotumia
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] njia ya miguu siifahamu kabisa mkuuNipo kwa miguu mkuu..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tulia wewe mtoto wewee....Kwani umeitwa ? Rudi basi jukwaa la Polifix ukajadili bunge
Umevamia tu kijiwe chetu
Hawa form for (4) wanashida sana...Tulia wewe mtoto wewee....
Hapa umkute nyani ngabu pale generali galadudu unageuka kidogo mshana jr, kati pale unamkuta rubii na yeye bila kusita anaipeleka kwake evelyn salt kisha kwake beny, anaituliza chini anamcheki jichawi, jichawi bila kusita ananitupia mpira mimi mwenyewe kirusi cha ukimwi nawatisha na kuwasisimua kidogo na mimi nnavyopenda watoto mh kwake miss chaga mh patamu jf jamani........ NAIPENDA JF MIAKA 10000The usual chit-chat drivel from a driveling dunderhead!
Ngoja wa masaki waje hapo ulipo sie wa mbagala tushafika omHivi nikitaka kwenda mbagala kutokea masaki napita njia gani vile ????!!