Underground vs Wakongwe wa JF

Underground vs Wakongwe wa JF

Namiliki genge nauza nyanya....ww ndo upo hapa JF kwa ajili ya kutafuta pesa!!!
Nje JF mimi naweza kuwa babu, usitafute laana wewe! By the way ukifunika wakongwe JF unapata faida gani? Come back to your own rail!
 
SIE TULIOJIUNGA JF BAADA YA PINDA KUWA WAZIRI MKUU TUNASHIDA SANA TUNATAKA TUJIITE NA SIE WAKONGWE

TUNAUNGANA NA WATU AMBAO WALIOJIUNGA JF WAKATI DR SLAA NDIE MGOMBEA WA URAIS CHADEMA


TUNAWADHARAU WALIOJIUNGA JF BAADA YA UJERUMANI KUCHUKUA WORLD CUP

ILA TUMESAHAU KUNA WATU WAKO HUMU WAMEJIUNGA WAKATI AMINA CHIFUPA (R.I.P) YUPO HAI NA MBAYA ZAIDI WAO HUWA HAWAJISIFU CHOCHOTE WANATUCHORA TU
 
Nje JF mimi naweza kuwa babu, usitafute laana wewe! By the way ukifunika wakongwe JF unapata faida gani? Come back to your own rail!
M'bbabu nenda kalale....U can't handle my swaga !!!!!
 
SIE TULIOJIUNGA JF BAADA YA PINDA KUWA WAZIRI MKUU TUNASHIDA SANA TUNATAKA TUJIITE NA SIE WAKONGWE

TUNAUNGANA NA WATU AMBAO WALIOJIUNGA JF WAKATI DR SLAA NDIE MGOMBEA WA URAIS CHADEMA


TUNAWADHARAU WALIOJIUNGA JF BAADA YA UJERUMANI KUCHUKUA WORLD CUP

ILA TUMESAHAU KUNA WATU WAKO HUMU WAMEJIUNGA WAKATI AMINA CHIFUPA (R.I.P) YUPO HAI NA MBAYA ZAIDI WAO HUWA HAWAJISIFU CHOCHOTE WANATUCHORA TU
Soma post vizuri uone km kuna dharau au funny au kunahusu nini......upo nje ya mada !!!
 
339596.jpg
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kampa kampa tena, Makapuku wameendelea kukimbiza.
Ila kwenye ile list ni Hatari, tunaelekea kutupwa nje wote[emoji134]
List sio ishu tushakuwa level zingine....hadi wakongwe wanatetemeka
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
List sio ishu tushakuwa level zingine....hadi wakongwe wanatetemeka
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hapo sasa ndo napokukubali presidaa,
 
Tukiamua inakuwa juu tu otherwise iwe haigusi watu
Tuwaachie kibanda chao bhana japo ki1 .....wasoje fanya figisufigisu bure
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom