Underrated musicians in Tanzania

Crocozilla

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
469
Reaction score
335
Kuna wanamuziki ambao wamefanya mambo makubwa sana katika fani ya muziki hapa Tanzania na pengine Africa na hata duniani. Hata hivyo hawajapata kutambulika kulingana na mchango wao sawasawa. Uzi huu una lengo la kuwatambua na kuwapa saluti yao. Naanzia hapa na wewe ongezea!

Dyna Nyange
Grace Matata
Barnaba Boy

Ongezea sasa........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…