Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ni kuhusu HIV, wengi huu ugonjwa umetuathiri kama sio sisi basi ndugu zetu wa karibu. ARV’s kwa kweli amekuwa mkombombozi na wengi wanaishi kwa miaka mingi tena wakiwa na afya njema.
Ukiwa Undetectable uwezo wa kumuambukiza mtu mwingine ni mdogo sana. Hii haimaanishi umfiche mchumba kuwa wewe ni mwathirika la hasha ila unaweza kumuekeza na kumtoa hofu kuwa hutamuambukiza.
Imefika mahala tuache kuwacheka waathirika kwani hakuna anaefahamu kesho yake. Kama ndugu yako wa karibu ameathirika mpe moyo wa kuendelea na tiba. Usiwe mnyonge Undetectable Untransmittable.
Ukiwa Undetectable uwezo wa kumuambukiza mtu mwingine ni mdogo sana. Hii haimaanishi umfiche mchumba kuwa wewe ni mwathirika la hasha ila unaweza kumuekeza na kumtoa hofu kuwa hutamuambukiza.
Imefika mahala tuache kuwacheka waathirika kwani hakuna anaefahamu kesho yake. Kama ndugu yako wa karibu ameathirika mpe moyo wa kuendelea na tiba. Usiwe mnyonge Undetectable Untransmittable.