Undumilakuwili wa Zitto Kabwe

Msingida TL alipomiminiwa malisasi kisa usaliti wa kuwatetea Accasia kwenye issue za makinikia uliisahau hii quotation?
mamako alishawahi kumiminiwa risasi hata moja nyie madalali ya warabu na samia mliohongwa kutetea upumbavu tunawasubir hao warabu wenu waje bandarini ndio tuwatie adabu vizuri.
 
Huyu ndiye Zito, ni msaliti.
Once a Traitor Always a Traitor is a quote that means that once you betray someone, you're always going to be seen as untrustworthy.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo watu wote wanaopinga huu mkataba ni Chadema? Kwanini usihalalishe unachosema kwa kutumia hoja na siyo Chadema.
 
Dp world walipatikanaje??
 
Kwa vile ametumia uhuru wake kuelezea jambo ambalo wewe halikufurahishi? unataka watu wote wawe na mtazamo kama wako ndio uone kua wapo sawa? si hua mnapigania demokrasia na uhuru wa maoni? sasa kwanini unataka kumpangia zito kipi aseme ili akufurahishe wewe?
 
Acha wachukue bandari watuletee pesa nyie wengine kelele zenu hazisaidii chochote, hata mkikaa na bandari miaka 800 hamna kitu watz tutapata humo!!!
 
Kweli Zito huoni kuwa mkataba wa bandari una walakii mkubwa? na ujuzi wako na power of analysis yako huoni ubaya wowote ndani ya mkataba wa bandari?
Anakatisha tamaa wale waliokuwa na Nia ya kujisomea vitabu. Au anawahujumu kweli? Maana mwaka Jana alisoma vitabu lukuki.

Kitabu kimojawapo alichosoma ni Hiki "Mtumwa kwenye Nchi Huru – Elizabeth Mramba"

Kwa hiyo, Mramba alimpa mbinu.


====
 
madalali ya dpworld.
 
kaka umesema kweli
 
Wote hao wamehongwa na mwarabu.
 
Wewe nawe unamatatizo mengi kichwani! Unadhani Lusinde ni chadema?

Unadhani wote wanaopinga ni Chadema?

Tibaijuka ni Chadema?

Tunakupuuza kabisa Wewe!
 
Zito akataliwe na watanzania sio mwenzetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…