Undumilakuwili wa Zitto Kabwe

Undumilakuwili wa Zitto Kabwe

Zito kavuta mkwanja, kumbuka DP world wali target wana siasa wa ccm wenye midomo domo wakala Chao, wakaja kwa Zito na baadhi ya waandishi wa habari, Zito kelele zake zote huwa ni pesa tu akilamba basi alhamdulihah .

Kumbuka kelele zote alikuwa ana piga issue ya covid19, serikali ipate pesa , serikali itume proposal, serikali ikapewa mpunga na machanjo, masks zika mwagika ili hali covid ilikuwa ime kwisha, pesa zime kuja waka piga kakaa kimya , mbona havai masks sasa? Na mboba watanzania hawa chanjwi na hawafi? Huyo ni mwizi sugu ndio maana zilikuwa hazipandi na serikali ya awamu ya tano.

Kwa huo usanii wake, ndio maana chama lake halikubiki Tanzania bara maana walisha mshitukia.

Dp world alianza kwa kusifia kwanza, ohh hakuna mkataba mzuri kama huu, ohhh kwa mara ya kwanza umeenda bungeni, baadae kahamisha goal debate ilipo waka moto akadai tuunde mbia kati ya DP world na TPA hizo ni kukosa msimamo
 
Why umpangie Zitto nini cha kusapoti na nini cha kupinga
Lema ana sapoti Dpworld..je Lema sio mnafiki??
Ukishindwa kutumia akili tumia hata ujinga basi labda tuakili tutakuja,hakuna anayekataa uwekezaji hakuna ndicho alichosema Lema ILA mnawekezaje ndyo ilikuwa hoja ya Lema.Mnakera sana aisee kama kina Zito wanavyojitoa ufahamu
 
Zito anajua kujenga hoja katika kila uwanja ambao haki inakiukwa.

La bandari amekengeuka na amejiunga na samia na Rostam ambaye ni mshirika wake wa kifedha miaka mingi.
Kwa samia /Zanzibar inaweza kuwa sababu ya kikundi chake cha ACT kiko Zanzibar na hivyo kwenda kinyume ni kuhatarisha uhai wa kikundi chake. Simuweki sana kwenye dini, ingawa ana elements za kuegemea dini.

Kweli Zito huoni kuwa mkataba wa bandari una walakii mkubwa? na ujuzi wako na power of analysis yako huoni ubaya wowote ndani ya mkataba wa bandari?

Huyu ndiye Zito, ni msaliti.
Once a Traitor Always a Traitor is a quote that means that once you betray someone, you're always going to be seen as untrustworthy.
Wewe Ndambo una chuki binafasi tangu ukiwa CUF na ACT hauwezi Kuleta hoja objectively.
 
Why umpangie Zitto nini cha kusapoti na nini cha kupinga
Lema ana sapoti Dpworld..je Lema sio mnafiki??
Uwe unaelewa wanacho zungumza watu siyo kuwawekea maneno. Lema anaunga mkono uwekezaji wowote unaheshimu sovernity ya Nchi yetu. Iwe ni mikataba ambayo sisi tuliopo na watoto wetu watakao zaliwa waseme hapa kweli akili ilitumika.
 
Zitto huunga mkono serikali yoyote inayoongozwa na muislamu. Huyu kinachomsumbua ni udini tu. Hakuna mwanasiasa pale ndio maana CHADEMA walimnawa.
Vipi kuhusu Dr Slaa?

Zitto umaarufu wake wa kisiasa aliupata lini?
 
Kwani wote lazima tuwe na mtazamo mmoja? Yeye Katoa maoni yake, nawe toa yako. Usimpangie mwenzio cha kusema.

Kwani Kuna utawala wa rais muislamu wakristo hamjapiga makelele? Mbona tumewagundua ujinga wenu Sasa?

Kaeni mtulie, mbona sisi huwa hatupigi kelele Kama nyie? Bandari inabinafsishwa kibiashara. Wewe unataka Nini Sasa?

Kama una wivu lamba limao au ita wanaume wakuletee ukwaju ulambe
Nakushauri uache bangi maana karibu utakuwa chizi
 
Back
Top Bottom