Undumilakuwili wa Zitto Kabwe

Zito kavuta mkwanja, kumbuka DP world wali target wana siasa wa ccm wenye midomo domo wakala Chao, wakaja kwa Zito na baadhi ya waandishi wa habari, Zito kelele zake zote huwa ni pesa tu akilamba basi alhamdulihah .

Kumbuka kelele zote alikuwa ana piga issue ya covid19, serikali ipate pesa , serikali itume proposal, serikali ikapewa mpunga na machanjo, masks zika mwagika ili hali covid ilikuwa ime kwisha, pesa zime kuja waka piga kakaa kimya , mbona havai masks sasa? Na mboba watanzania hawa chanjwi na hawafi? Huyo ni mwizi sugu ndio maana zilikuwa hazipandi na serikali ya awamu ya tano.

Kwa huo usanii wake, ndio maana chama lake halikubiki Tanzania bara maana walisha mshitukia.

Dp world alianza kwa kusifia kwanza, ohh hakuna mkataba mzuri kama huu, ohhh kwa mara ya kwanza umeenda bungeni, baadae kahamisha goal debate ilipo waka moto akadai tuunde mbia kati ya DP world na TPA hizo ni kukosa msimamo
 
Why umpangie Zitto nini cha kusapoti na nini cha kupinga
Lema ana sapoti Dpworld..je Lema sio mnafiki??
Ukishindwa kutumia akili tumia hata ujinga basi labda tuakili tutakuja,hakuna anayekataa uwekezaji hakuna ndicho alichosema Lema ILA mnawekezaje ndyo ilikuwa hoja ya Lema.Mnakera sana aisee kama kina Zito wanavyojitoa ufahamu
 
Wewe Ndambo una chuki binafasi tangu ukiwa CUF na ACT hauwezi Kuleta hoja objectively.
 
Why umpangie Zitto nini cha kusapoti na nini cha kupinga
Lema ana sapoti Dpworld..je Lema sio mnafiki??
Uwe unaelewa wanacho zungumza watu siyo kuwawekea maneno. Lema anaunga mkono uwekezaji wowote unaheshimu sovernity ya Nchi yetu. Iwe ni mikataba ambayo sisi tuliopo na watoto wetu watakao zaliwa waseme hapa kweli akili ilitumika.
 
Zitto huunga mkono serikali yoyote inayoongozwa na muislamu. Huyu kinachomsumbua ni udini tu. Hakuna mwanasiasa pale ndio maana CHADEMA walimnawa.
Vipi kuhusu Dr Slaa?

Zitto umaarufu wake wa kisiasa aliupata lini?
 
Nakushauri uache bangi maana karibu utakuwa chizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…