mjasiriamali mdogo
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 258
- 110
Kabla sijaanza mazoezi nilikuwa na kilo 84 lakini cha kushangaza jana nimepima nimekuwa na kilo 85.5. Huwa nazunguka uwanja mara 15 na mazoezi ya viungo na kucheza mpira kila asubuhi lakni unene na uzito vinaongezeka.
Tatizo lingne maumivu makali ya mgongo na kiuno ilinifanya mpaka kuja Dar Muhimbili kwa vipimo lakini MRI na X-Ray hawakuona kitu. Mgongo na kiuno jamani vinanisumbua sana, nikinywa dawa maumivu hupotea lakini baada ya wiki 1 maumivu hurudi tena. USHAURI WA TIBA NA MAWAZO.
Tatizo lingne maumivu makali ya mgongo na kiuno ilinifanya mpaka kuja Dar Muhimbili kwa vipimo lakini MRI na X-Ray hawakuona kitu. Mgongo na kiuno jamani vinanisumbua sana, nikinywa dawa maumivu hupotea lakini baada ya wiki 1 maumivu hurudi tena. USHAURI WA TIBA NA MAWAZO.