Unene ni ugonjwa mbaya, sijui kwanini watu wanaukumbatia!

Ni hivi hatuvitoi hivi vitambi, na vipara vipo njiani vyaja
 
Mbona mtoa uzi hajataja jinsia lkn nyie mwawasakama wanawake tu????au hakuna wanaume wenye vitambi vya kuning'inia????au mwafkir wanawake wanavifurahia vtambi vya wanaume????
kweli wanaume kuwa na vitambi kama ectopic haipendezi kabisa. inakata kote kote
 
Mbona mtoa uzi hajataja jinsia lkn nyie mwawasakama wanawake tu????au hakuna wanaume wenye vitambi vya kuning'inia????au mwafkir wanawake wanavifurahia vtambi vya wanaume????
yaani popote wakiona key wanafunguka tu jamani hili jukwaa la tiba loo
 
Kiongozi, unazungumzia kama huu au
 

Attachments

  • Masogange 2.png
    118.3 KB · Views: 77
Kitambi nomaaa..kuna age ukiwa ukimuona mwenzako mnene unamuonea donge..ila ukifika age flani kama unakitambi unajichukiaaa..na shuuli ni kukiondoaa sii kazi rahisi kujikondesha/kuondoa Kitambi
 
Hakuna anaetaka unene wa kupita kiasi, na matokeo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…