Unene wa mke wangu unamuweka matatani

mshauri na mtafutie dawa za kuharisha anywe kupunguza mafuta.Kuna wengine hawapendi mazoezi
 
Hivi wewe si ndio nimetoka kuchangia thread yako unasema huwezi kudumu na mwanamke zaidi ya siku nne? Eti ukisha do naye hamu inakuisha?

Au ndo umeamua kutuchanganyia madesa?
stor za huku nyingi za kutunga na uongo mwingi
 
Sasa stress si angekonda stress gani ananenepa
Watu wakiwa na stress wana react tofauti, some tend to lose their appetite lakini wengine wanajifariji kwa msosi so they tend to over eat na kuongezeka uzito kwa kasi. Mpokee baadhi ya majukumu haswa yanayohusu watoto ili apate muda kwa ajili yake ndio ataweza kuwa na interest na vitu kama muonekano wake hata gym anaweza ku attend. Amezidiwa na majukumu, msaidie mkeo.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi nimecheka hapo kwenye kula kilo 2 za kitimoto. Asee mwanamke unakula namna hiyo hatari, ndio maana anakuwa mzito kupita kiasi.
 
Pamoja na uwezekano wa stress lkn pia kuna ugonjwa wa kongosho unaowapata watu wa kisukari una dallili hizo za kuongezeka uzito kwa haraka namna hiyo ndani ya kipindi kifupi. Nendeni hospital kubwa kuangalia, yaweza tiba isiwe gym tu km unavyofikiri
 
Hivi wewe si ndio nimetoka kuchangia thread yako unasema huwezi kudumu na mwanamke zaidi ya siku nne? Eti ukisha do naye hamu inakuisha?

Au ndo umeamua kutuchanganyia madesa?
Kwa design hii ukute jamaa analala sebuleni kwa mjomba sasa kuvuta time watu wote walale anatunga stori. Usishangae baadae akaja na uzi kuwa mumewe hampi haki yake ya ndoa kusahau kuwa alishaanzisha mada kama mwanaume. Ukiwa muongo sharti uwe na kumbukumbu.
 
Dah huyo wife ni noumer...anapeleka pwani kg 2 za pork peke yake....hahahaha hatari sana. Pole sana mkuu ila hamna zoezi gumu kama kupunguza uzito. Inabidi ajitoe sadaka kweli kweli. Kama ana nia ya dhati ataweza vinginevyo jifunze kuishi naye kama alivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…