Unene wa mke wangu unamuweka matatani

chai chungu hii, kama haoni hizi comments, ze big hebu kwanza jibu maswali, hii chai au gahawa, ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Sio kila ninacho andika kinanihusu direct kuna watu wana matatizo na hawana simu . JE HAWARUHUSIWI KUOMBA USHAURI KUPITIA KWA MTU KAMA MIMI?
 
Hii inaweza ikawa ni sababu kubwa ya hili. Sasa walipokaa na mumewe kuongea kuhusu unene wake kwanini hakuliongea hili labda hali ya nyumbani/kazini inampa stress katika maisha yake? Pia walipoenda kumuona Dr angeweza kabisa kusema chochote kile kwa Dr ambacho kingeweza kumpa fununu Dr kwamba huyu mdada ana stress.

Mkeo ana stress...
 
Sio kila ninacho andika kinanihusu direct kuna watu wana matatizo na hawana simu . JE HAWARUHUSIWI KUOMBA USHAURI KUPITIA KWA MTU KAMA MIMI?
kwa hiyo hapo wewe ni yupi? mwenye mke kibonge au anayeshindwa kuishi na mwanamke, kwanini usiwe wazi ili kuondoa hizi inconvinience.
 
Haraka haraka nahis mkeo anatumia njia za uzazi kwa siri...yaweza kuwa vidonge au sindano..wamama weng hufanya siri hili jambo..mana si kwa unene huo wa ghafla

Hapana, tatizo ni ulaji iliyopitiliza mipaka - kisaikolojia naona anahisi mumewe hampendi vya kutosha, wanawake wengine wana mawazo ya ajabu sana - kwa hiyo anahamishia hasira zake katika kula bila mpangilio, watu wengine wanaweza kufikiri natania lakini ukweli ndio huo - mumewe ajaribu kuangalia tatizo hilo lilianza lini na mahusiano yao yalikuwa katika hali gani wakati ananza kula kula ovyo na kumjibu jibu kimkato mkato.
 
Mkeo ana stress...
Kuna mtu nilimwambia kunenepa sana ni stress akabisha saana akisema hilo lina apply Ulaya...
Sio siri hata mimi nikiwa na stress natafuta cake...
Tukirudi kwenye mada huyu wife ni kiboko...
Anamfokea hadi daktari...
Sasa hapo utatumia njia gani kumshawishi aache kula hovyo...

Maana njia rahisi ilikuwa umtumie doctor amdanganye kuwa anakaribiea kufa achangue kula au kuishi...
Sasa mtukana madaktari utamfanyeje...?!

Mkataa pema huyu...
Na ukishafika kilo 110 kuzitoa kunataka moyo si kuburuzwa...

Au kwao ni vibonge...maana mi hata nileje 110 haziwezi kufika...
Angekuwa 44 ndio mwili wake wa asili asingefika hiyo 110...hata aleje angecheza sana sana na 60s...huyo labda ana unene wa ukoo ambao unahitaji descipline ya hali ya juu kuukwepa...ukiiingia kutoka hadi mazoezi ya kijeshi...

Na usipoangalia atakuharibia na watoto...watoto wa mama mlaji nao lazima wawe vibonge
 
Mtafutie make mwenza na yes MPE 33% au kamuone Mwaka dokta
 
we na mkeo wote mna matatizo. mtu una 54kg unajiita ze big???
 
Sasa mtu kashafikia hatua ya kula kilo 2 za nyama hakuna la zaidi ya kuandaa mazishi maana tiba haitaki.
 
Natamani awe mke wangu, mimi na matipwa tipwa ni kama maji na samaki, tai na shati, sindano na uzi.
Hapo kuwa mpole, be smart to her, ongea naye kiromantic coz yawezekana unaongea naye kimwanaume gubu. Hana furaha na wewe coz anaona unamsema kuhusu mwili wake wala sio kumsaidia sasa penzi atakupa kwa raha gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…