Nipe bei yake mkuu ikiwa full package
Mtoa mada hataweza kupatikana hewani hadi hapo itakapotangazwa tenaNipe bei yake mkuu ikiwa full package
izi gari zingekuwa zinachajiwa ata nyumban ata mim ningebadirisha, mafuta yanayumba yumba snaa
Wakiweza kutengeneza battery ya one charging for at least 850 km itakuwa poa zaidi.Unachaji kuna inverter ya kununua ambayo itaweza kuchajisha mda mchache. Mbona vipo wazi sana.
Kuna injini ukichaji ikiwa full inatembea km 340 na hapo ndio teknolojia imeweza zaidi
Wakiweza kutengeneza battery ya one charging for at least 850 km itakuwa poa zaidi.
Sasa tumeanza kuwaza kama watu na sio kama zombie wa ccmHizi engine za umeme ni zaidi ya engine za mafuta. Nimejaribu kufatilia makala mbali mbali kupitia Youtube watu wanavobadili magari ya zamani au kujitengenezea kama kaka yetu Masoud kipanya.
Wanabadilisha injini na kuzifunga kwenye magri yao na kuziongezea ubora zaidi.
ukikuta gari imekufa injini usiogope kwa nyie mafundi ijalishi ni hipi.
injini hizi zinategemea kwa jinsi zilivotengenezwa na zengine zina gearbox.
wadau embu tusanuke.
View attachment 2467737
View attachment 2467738
View attachment 2467740
View attachment 2467741
Uzuri yaliyomkuta kipanya kila mtu anajuaIla kuna njia ambazo gari ikiwa inatembea inachaji kwa ili.
Hii project tz sijui kwa nini wamelala wakati ghana wanafanya tena gari za maana
brand inaitwa kantakaView attachment 2467959
View attachment 2467960
Hata kwa hizi hzii two phase za majumbani?Unachaji kuna inverter ya kununua ambayo itaweza kuchajisha mda mchache. Mbona vipo wazi sana.
Kuna injini ukichaji ikiwa full inatembea km 340 na hapo ndio teknolojia imeweza zaidi
Germany wameweka sub station za kuchajia kila baada ya km kadhaa, ukilikuta unaswap na lako unachapa rapaHata kwa hizi hzii two phase za majumbani?
Vp inachukua masaa mangapi hadi full charge
Hata kwa hizi hzii two phase za majumbani?
Vp inachukua masaa mangapi hadi full charge
Kwani kipanya haendelei kuunda gari zake??Uzuri yaliyomkuta kipanya kila mtu anajua
Wazee wa tiss waliona analeta kiwingu,hata mlimani city last time sikulionaKwani kipanya haendelei kuunda gari zake??
Tesla wamekula za uso gari zao bei Sana, zinatembea km nyingi lakini bei imezidi, wanaweka bei kubwa wakati China kashaanza kuuza mtaani kila kona.