Unfortunately, sehemu kubwa ya nyuzi humu JF ni full miropoko

Unfortunately, sehemu kubwa ya nyuzi humu JF ni full miropoko

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Nawafokea kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.

Kwa bahati mbaya ninapofungua nyuzi nyingi humu JF, sipati ile intellectual content, yaani taarifa zilizo na facts and figures au proof ambazo zinaweza ku substantiate allegations made au hypothesis iliyokua put forward. Aidha, story nyingi haziko balanced, yaan ni za upande mmoja tu wa anayesema bila kujali umuhimu wa kusikia upande unaosemwa pia.

Kimsingi, ma-mataarifa na ma-nyuzi mengi humu ni full miropoko, yako motivated na hisia za kisiasa, kiuchumi, kidini, kimapenzi, kijinsia na kikabila. Yaani ni ujinga na ukanjanjai wa first class. Ma- nyuzi hayana swagger, yapo yapo tu kama maviporo yaliyo chacha. Ila wapo watu wachache ambao wanaleta nyuzi analytical na angalau unaweza kusoma na ku-appreciate. Still bado ma- nyuzi mengi kwa sehemu kubwa ni misplaced exposure of ignorance ya watoa nyuzi.

Naomba mjiratibu na mmakinike msifanye JF kama platform for showcasing your ignorance.. Nawafokea tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iitwayo Tanzania

Aidha, bila ya kupepesa macho, uzi huu uingizwe kwenye katiba mpya, kama unabisha, andamana kama babu yako Odinga.
 
Nawafokea kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.

Kwa bahati mbaya ninapofungua nyuzi nyingi humu JF, sipati ile intellectual content, yaani taarifa zilizo na facts and figures au proof ambazo zinaweza ku substantiate allegations made au hypothesis iliyokua put forward. Aidha, story nyingi haziko balanced, yaan ni za upande mmoja tu wa anayesema bila kujali umuhimu wa kusikia upande unaosemwa pia.

Kimsingi, ma-mataarifa na ma-nyuzi mengi humu ni full miropoko, yako motivated na hisia za kisiasa, kiuchumi, kidini na kikabila. Yaani ni ujinga na ukanjanjai wa first class. Ma- nyuzi hayana swagger, yapo yapo tu kama maviporo yaliyo chacha. Ila wapo watu wachache ambao wanaleta nyuzi analytical na angalau unaweza kusoma na ku-appreciate. Still bado ma- nyuzi mengi kwa sehemu kubwa ni misplaced exposure of ignorance ya watoa nyuzi.

Naomba mjiratibu na mmakinike msifanye JF kama platform for showcasing your ignorance.. Nawafokea tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iitwayo Tanzania

Aidha, bila ya kupepesa macho, uzi huu uingizwe kwenye katiba mpya, kama unabisha, andamana kama babu yako Odinga.
Uko sahihi, hizo ndo habari rahisi kujadiliwa humu,watu hawataki kuumiza akili na mambo makubwa
 
Nawafokea kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.

Kwa bahati mbaya ninapofungua nyuzi nyingi humu JF, sipati ile intellectual content, yaani taarifa zilizo na facts and figures au proof ambazo zinaweza ku substantiate allegations made au hypothesis iliyokua put forward. Aidha, story nyingi haziko balanced, yaan ni za upande mmoja tu wa anayesema bila kujali umuhimu wa kusikia upande unaosemwa pia.

Kimsingi, ma-mataarifa na ma-nyuzi mengi humu ni full miropoko, yako motivated na hisia za kisiasa, kiuchumi, kidini na kikabila. Yaani ni ujinga na ukanjanjai wa first class. Ma- nyuzi hayana swagger, yapo yapo tu kama maviporo yaliyo chacha. Ila wapo watu wachache ambao wanaleta nyuzi analytical na angalau unaweza kusoma na ku-appreciate. Still bado ma- nyuzi mengi kwa sehemu kubwa ni misplaced exposure of ignorance ya watoa nyuzi.

Naomba mjiratibu na mmakinike msifanye JF kama platform for showcasing your ignorance.. Nawafokea tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iitwayo Tanzania

Aidha, bila ya kupepesa macho, uzi huu uingizwe kwenye katiba mpya, kama unabisha, andamana kama babu yako Odinga.
Kama uzi wako huu ulivyo wa maropoko...nyani....haoni....
 
Nawafokea kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.

Kwa bahati mbaya ninapofungua nyuzi nyingi humu JF, sipati ile intellectual content, yaani taarifa zilizo na facts and figures au proof ambazo zinaweza ku substantiate allegations made au hypothesis iliyokua put forward. Aidha, story nyingi haziko balanced, yaan ni za upande mmoja tu wa anayesema bila kujali umuhimu wa kusikia upande unaosemwa pia.

Kimsingi, ma-mataarifa na ma-nyuzi mengi humu ni full miropoko, yako motivated na hisia za kisiasa, kiuchumi, kidini na kikabila. Yaani ni ujinga na ukanjanjai wa first class. Ma- nyuzi hayana swagger, yapo yapo tu kama maviporo yaliyo chacha. Ila wapo watu wachache ambao wanaleta nyuzi analytical na angalau unaweza kusoma na ku-appreciate. Still bado ma- nyuzi mengi kwa sehemu kubwa ni misplaced exposure of ignorance ya watoa nyuzi.

Naomba mjiratibu na mmakinike msifanye JF kama platform for showcasing your ignorance.. Nawafokea tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iitwayo Tanzania

Aidha, bila ya kupepesa macho, uzi huu uingizwe kwenye katiba mpya, kama unabisha, andamana kama babu yako Odinga.
Leta wewe hizo highly intellectual content
 
Nawafokea kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania.

Kwa bahati mbaya ninapofungua nyuzi nyingi humu JF, sipati ile intellectual content, yaani taarifa zilizo na facts and figures au proof ambazo zinaweza ku substantiate allegations made au hypothesis iliyokua put forward. Aidha, story nyingi haziko balanced, yaan ni za upande mmoja tu wa anayesema bila kujali umuhimu wa kusikia upande unaosemwa pia.

Kimsingi, ma-mataarifa na ma-nyuzi mengi humu ni full miropoko, yako motivated na hisia za kisiasa, kiuchumi, kidini na kikabila. Yaani ni ujinga na ukanjanjai wa first class. Ma- nyuzi hayana swagger, yapo yapo tu kama maviporo yaliyo chacha. Ila wapo watu wachache ambao wanaleta nyuzi analytical na angalau unaweza kusoma na ku-appreciate. Still bado ma- nyuzi mengi kwa sehemu kubwa ni misplaced exposure of ignorance ya watoa nyuzi.

Naomba mjiratibu na mmakinike msifanye JF kama platform for showcasing your ignorance.. Nawafokea tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iitwayo Tanzania

Aidha, bila ya kupepesa macho, uzi huu uingizwe kwenye katiba mpya, kama unabisha, andamana kama babu yako Odinga.
Ni kweli , mtu anakuja na uzi kuponda mradi wa daraja la busisi, kwa chuki tuu za kusiasa , pengine hajawahi kuvuka pale akakwama masaa manne kusubiri kuvuka na kivuko
 
Back
Top Bottom