Unfortunately, sehemu kubwa ya nyuzi humu JF ni full miropoko

Ni kweli , mtu anakuja na uzi kuponda mradi wa daraja la busisi, kwa chuki tuu za kusiasa , pengine hajawahi kuvuka pale akakwama masaa manne kusubiri kuvuka na kivuko
Hakika, nyuzi nyingi hazina intellectual contents ni vioja tu
 
Ahahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…