Kwajinsi Tulivyoamka tu tukagundua yaleo kali,kwani niliota sana ndoto za hatalhali njaa niliyokuwa nayo ilinitosha kuwaza niliikumbuka mpka misosi niliyowai kuisaza kuwasimulia mablaza.men noma wengine wanaenda kupakaza mpka nashika kipaza..
Kutwaa nzima yaleo nimeshindia pipi.
Daaah maskin kr AKA kubwa jinga.AKA beberu.
Namkumbuka kwa ukali wake wa kutikisha kichwa ktk ile style yao ya Mapanga shaa!Hilo pozi la mwisho ni ssshida
Ndio wasanii wetu hawa!Duhhh so sad...
Wakiendelea kujitoa ufahamu hivihivi, sembe itawamalizaNdio wasanii wetu hawa!
ka Vesi hiyo alikuwa anachezea kwenye 29Ana miaka mingapi huyu jamaa?