Unga unammaliza KR Muller wa Wachuja Nafaka na TMK Family

Unga unammaliza KR Muller wa Wachuja Nafaka na TMK Family

acheni promo ya nyimbo
hiyo.........
ustaa na skendo
....karudi kwa mzee wafitina au anataka ajiunge na babu talent afanye kolabo na wasafi kama bb benz
 
Kwajinsi Tulivyoamka tu tukagundua yaleo kali,kwani niliota sana ndoto za hatalhali njaa niliyokuwa nayo ilinitosha kuwaza niliikumbuka mpka misosi niliyowai kuisaza kuwasimulia mablaza.men noma wengine wanaenda kupakaza mpka nashika kipaza..

Kutwaa nzima yaleo nimeshindia pipi.

Daaah maskin kr AKA kubwa jinga.AKA beberu.

Ana miaka mingapi huyu jamaa?
 
1473135753234.png

1473135776703.png

1473135793803.png

1473135808865.png


Huyu ni msanii aliyekuwa maarufu wa nyimbo za Bongofleva KR Mullah. Inasemekana ni mtumia sembe mzuri!

Chanzo: Muungwana blog!
 
Huyu si alisema atamshauri tid aache unga,,,,,nini kimemsibu tena??
 
hilo si la kuhuliza Kwa KR ni kweli mtumiaji Mzuri saanaa ..afu kingine jamaa hajipendi ni Mchafu sanaa sijui kwanini
 
Huyu ni jamaa wa akina CHEGE na TEMBA, vipi amefika huku jamani?
 
KR Mullah jibaba CD120, Stress na muziki lazma upige sembe mzee
 
Huyu jamaa kaanza Muziki Mwaka 1997 ila ana Album Moja Tu..
 
Back
Top Bottom