TID anakaa kwao till today? aisee
Gangsters With Matatizo [emoji2]Ndo nn mkuu?
39Ana miaka mingapi huyu jamaa?
Post yako imenifanya nisiendelee kusoma huu uzi, umenifunga breki kama za kuku.!Daah hiyo pensi nayo inamuongezea uzito pensi gani hiyo kama mtambaa wa kutolea unga kwenye mashine ya kusaga.
1994Huyu jamaa kaanza Muziki Mwaka 1997 ila ana Album Moja Tu..
TID Mnyama mla UngaTeja Msafi🙁
Akamatwe haraka aoneshe anaponunulia na pusha wake ni nani?
Itakuwa TID kamshauri na yeye Avute UngaHuyu si alisema atamshauri tid aache unga,,,,,nini kimemsibu tena??