King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
siwanaona ufahari kujilipua na maunga, sasa athari zake ndo kimbembe.... Unga nomaaaaa!
Huwa wanajisahau kabisa wakianza kushika pesa nyingi kabla hawajajiandaa kisaikolojia!!wanalivamia jiji na starehe zisizo size yao!!anahitaji ushauri atoke humo janga zito!!
Mungu atamuondoshea yeye na wengine.Habari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi,Daah mangwea amearibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja,chonde chonde unga Nomaaaaaa,Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni LANGA
Nawasilisha
kuna kale kasaloon kakiume jirani na Kinondoni Hosp sijui kanamilikiwa na nani jamani.....maana hao wasanii wala unga karibia wote utawakuta wanastua pale mchana wa jua kali
Wadau TID nae ndo anaelekea huko huko labda ahame kule mkwajuni anapokaa.
Wadau TID nae ndo anaelekea huko huko labda ahame kule mkwajuni anapokaa.