Unga unamuharibu Albert Mangwea

Unga unamuharibu Albert Mangwea

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Habari wana JF,

Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.

Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..

Nawasilisha..
 
siwanaona ufahari kujilipua na maunga, sasa athari zake ndo kimbembe.... Unga nomaaaaa!
 
Huwa wanajisahau kabisa wakianza kushika pesa nyingi kabla hawajajiandaa kisaikolojia!!wanalivamia jiji na starehe zisizo size yao!!anahitaji ushauri atoke humo janga zito!!
 
Huwa wanajisahau kabisa wakianza kushika pesa nyingi kabla hawajajiandaa kisaikolojia!!wanalivamia jiji na starehe zisizo size yao!!anahitaji ushauri atoke humo janga zito!!

True Dat Skills
 
Habari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi,Daah mangwea amearibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja,chonde chonde unga Nomaaaaaa,Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni LANGA

Nawasilisha
Mungu atamuondoshea yeye na wengine.
 
Langa mchanga wa macho wewe subiri shekeli zimwendee sawa atarudi na nyimbo ya MOLA niokoesi unakumbuka TID wapi sasa alipo aibu sisemi sana
 
Kwakweli hii kitu ni kumuomba mungu akuepueshie pia awaapushie familia yako na wote wanaokuhusu.

Kuna mdogo wangu, alipotelea maeneo ya pale Mchikichini. Kwakweli inauma sana kila nikimuna. Namshukuru mungu tulifanikiwa kumuachisha. Baada ya kumuhamisha na kumrudisha kijijini kwa babu.

Hawa jamaa wa bongofleva wanatamani sana kuacha. Ila wanakuambia ile mambo ikishaingia kwenye damu ni vigumu kuacha.

Mungu awape uwezo wa kuacha. Ameni.
 
Ngwea hajaanza leo. Tangu akiwa anaishi kinyama pale mtaa wa niger wenyewe wanapaita chemba squad ndo ilikua kazi yao asubuhi mpaka jioni.kipindi hicho nakumbuka alikuwa ngwea,nurah,dark master,wakina mez b walikua nao wanatia timu na vijana wa pale mtaani ambao bado wanaendeleza hadi leo.walivutaga unga saa mbili hadi saa tano asubuhi wakakimbia kwa miguu hadi kwa p.funk kurekodi wimbo wa "getto langu" eti mzuka ulipanda, nlikuwa napenda story zao za kwenda mamtoni.ndoto yake ilikuwa kuishi ulaya. mia
 
nasikia toka jk ameishaka nh ngada ilikuwa elfu moja sasa hvi elfu mbili halafu imepanda fasta kweli..

wala unga wote endeleeni kula unga ili wanaoleta unga nchini wazidi kuwa matajiri na kama wewe una ndugu au jamaa anatumia nyunga muache aendelee.

naomba na serikali ya jk iruhusu bangi ili mambo yawe safi marijuana ligalization by peter tosh..
 
Back
Top Bottom