King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Habari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..