King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
-
- #21
si ndo wanasema maskini akipata ****** hulia...
Sasa unga na kutoa sauti vina uhusiano gani ?
kwani mkwajuni wote wanakula ngada?TID tu mwenyewe tu kajichanganya!mnyamwezi wangu anapotea kama masihara!inaniuma sana
Inawezekana kbs Ngwea ameona sio mby kubwia kw vl kutamuongoza kwny "Road map" ya kufika juu kimaendeleo kw fani yake km Banza stone alivyofika juu ktk gem! Kutoka Twanga pepeta then Tot hadi kuishia kwenye kundi la Taarabu.
Hp hop bila madawa nyie mnajua nini, nishawah kua mteja alosto naijua mimi haha
kuna kale kasaloon kakiume jirani na kinondoni hosp sijui kanamilikiwa na nani jamani.....maana hao wasanii wala unga karibia wote utawakuta wanastua pale mchana wa jua kali
sasa ni zamu ya t i d, anajidunga ile mbaya, anasema unampa sauti nzuri
Haya mauza unga si yanajulikana ??????
Kuyafumbia macho ni kuiteketeza
nji yetu kamata mateja yote
yaelekeze yanapata wapi mapouder
then peleka kwa MTHIBITI WA MAPOUDER
ngwea hajaanza leo. Tangu akiwa anaishi kinyama pale mtaa wa niger wenyewe wanapaita chemba squad ndo ilikua kazi yao asubuhi mpaka jioni.kipindi hicho nakumbuka alikuwa ngwea,nurah,dark master,wakina mez b walikua nao wanatia timu na vijana wa pale mtaani ambao bado wanaendeleza hadi leo.walivutaga unga saa mbili hadi saa tano asubuhi wakakimbia kwa miguu hadi kwa p.funk kurekodi wimbo wa "getto langu" eti mzuka ulipanda, nlikuwa napenda story zao za kwenda mamtoni.ndoto yake ilikuwa kuishi ulaya. Mia
tatizo flora wauza unga wengi ni watu wakubwa au ni watu wenye ushirikiano na watu wakubwa so inakua ngumu kuwadhibiti coz hao wenye dhamana ya udhibiti ndo hao wauza unga
kuna kale kasaloon kakiume jirani na Kinondoni Hosp sijui kanamilikiwa na nani jamani.....maana hao wasanii wala unga karibia wote utawakuta wanastua pale mchana wa jua kali