King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
- #21
si ndo wanasema maskini akipata ****** hulia...
Sasa unga na kutoa sauti vina uhusiano gani ?
Mkuu valid nahisi unga unaaribu system ya sauti si umeona mateja wakiongea ahaa mwanangu valid niachie bati mwana nikapate chai kidogo(weka swag za kiteja)