King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
-
- #81
Kuna watu hawapendi sura zao!huu unga unavyozeesha unaanzia wapi kuutumia!!!kama unga ungefanya nizidi kuwa mzuri labda ningeweza kuutumia!
Shades zitagongwa zilezile za kitambo!!!ha ha ha ha!!!huu msiba wa masela wazee wa kununa bila sababu!...watu wakitaka kujua rafiki wa nyoka ni nyoka wajaribu kuangalia jicho la tatu washkaji wataokuwa front katika msiba huu!!....mateja wanapendana sana halafu huwa wanajiona hao ni wajanja kuliko mtu yeyote asiyekula madude yao!Kweli wewe muuza sura!
Ushanunua shades za kuendea mazishini?
aaah sana unga unazesha.TID amekua kibabu ile mbaya na lile pank lake na dawa aliyoweka kwenye kichwani ndio anaonekana kizee haswaa,hv nani anawadanganya hawa watu?Mzazi TID kawa babu Sana kweli ngada nouwmer
Shades zitagongwa zilezile za kitambo!!!ha ha ha ha!!!huu msiba wa masela wazee wa kununa bila sababu!...watu wakitaka kujua rafiki wa nyoka ni nyoka wajaribu kuangalia jicho la tatu washkaji wataokuwa front katika msiba huu!!....mateja wanapendana sana halafu huwa wanajiona hao ni wajanja kuliko mtu yeyote asiyekula madude yao!
Nenda Mikocheni A nyuma ya Hospital ya Kairuki ulizia mtaa wa King'oko,ukishafika mtaa huo uulize Nataka kuonana na kaka Voda milionea utaonyeshwa..Kaka voda ndio Nazi?
Hahaha sijui kwanini hii comment yako imenichekesha sanaMh...kumbe watu walishayaona kitambo... JF iwekwe kwenye katiba mpya.
duh mkuu tunaskilizia mipango inakwendaje...sunajua mchizi amekatia mbali so ni mlolongo flan
RIP Ngwea you were ma' tru nigga..wasamehe wakuda wote wanaokuhukumu,,,Mungu ndio anajua kila kitu na washikaji zako ndio wanajua ulimokuwa unapitia..kikubwa ulikuwa mtu poa sana na kwa hilo tunakuombea Mungu akupumzishe mahala pema peponi.AMEN!
Uwiiuiie yeuwiiiii uuuuwiiie jaman udongo unakula Sana huuu yeuuueiiiLanga ,Ngwea Geez mabovu mpumzike salama
Teh teh Vipi bado hujapata dawa ya kuacha kulia ??Uwiiuiie yeuwiiiii uuuuwiiie jaman udongo unakula Sana huuu yeuuueiii
jaman magu uwiiee vijana wanaisha yeuwiiiChid kabaki kichwa mwili wote umeisha
Ntaftie sindano uwiiiiee yeuwiiiiiTeh teh Vipi bado hujapata dawa ya kuacha kulia ??
Teh teh njoo nikutulize hapa na hii sindano natural ,badala ya kutoa kilio uwe unaugumia kwa furahaNtaftie sindano uwiiiiee yeuwiiiii