Unga unamuharibu Albert Mangwea

Unga unamuharibu Albert Mangwea

Habari wana JF,

Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.

Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..

Nawasilisha..
mzee kumbe ulimshtukia kitambo.nani mwingine anatumia unga now?
 
Wasanii wengi wanatumia unga ila gari bado hazijawaka ,gari ikiwaka ndio rahisi kumstukia....huwa wanajidanganyaga wakiwa studio kwamba ukila "MADUDE" basi kwenye 6x6 mechi dakika 90 ndio wazungu wanashuka Airport.
Lord Eyes kajitahidi unga haujamuaribu kihivyo
 
Kweli dunia tunapita Uzi umetaja Ngwea na Langa wote wako chini ya udongo
Langa nae kwenye hii nyimbo yake kamtaja Dj Steve B nae Steve B yuko chini ya udongo
Langa Ni Nomaaa bars zakutosha hizo 2009-Im Gangstar

AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA MWAMBIE MDOGO WAKO AACHE ULIBERALI NA UMBEA(03:08)
 
Huu izi nimeupotia leo 2024 Big ug kwa King kong kwa kulet uzi
 
Back
Top Bottom