Diss Meddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 590
- 1,291
Lisemwalo lipo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee kumbe ulimshtukia kitambo.nani mwingine anatumia unga now?Habari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Teh teh mzee naona umepiga swali hapomzee kumbe ulimshtukia kitambo.nani mwingine anatumia unga now?
mzee kumbe ulimshtukia kitambo.nani mwingine anatumia unga now?
Lord Eyes kajitahidi unga haujamuaribu kihivyoWasanii wengi wanatumia unga ila gari bado hazijawaka ,gari ikiwaka ndio rahisi kumstukia....huwa wanajidanganyaga wakiwa studio kwamba ukila "MADUDE" basi kwenye 6x6 mechi dakika 90 ndio wazungu wanashuka Airport.
Kweli,lord eyes+- ray-c, bado wazima,God is good!Lord Eyes kajitahidi unga haujamuaribu kihivyo
Lord Eyes kajitahidi unga haujamuaribu kihivyo
leo tarehe 27/9/2023bado dark master. mia
Duh!Wasanii wengi wanatumia unga ila gari bado hazijawaka ,gari ikiwaka ndio rahisi kumstukia....huwa wanajidanganyaga wakiwa studio kwamba ukila "MADUDE" basi kwenye 6x6 mechi dakika 90 ndio wazungu wanashuka Airport.
Sahv yuko moro...kajichokea hatariO-Ten gari imewaka..........Inasikitisha Sana.
Langa Ni Nomaaa bars zakutosha hizo 2009-Im Gangstar
AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA MWAMBIE MDOGO WAKO AACHE ULIBERALI NA UMBEA(03:08)
Afande sele si ampige tafu legend mwenzieSahv yuko moro...kajichokea hatari