Unga wa udishe

Mm niliwahi kuutafuta sana huu unga, lkb sikufanikiwa kuupata. Nilisoma bandiko moja humu JF nikapata elimu juu ya huu unga.
 
wanadai unasaigia kua sisimua misuli iliyolegea au kusinyaa, inasaidia watu walioparalyze na kwa wale ambao uume wao umesinyaa kwa sababu tofauti, ila nausomaga tu! sijawahi kukutana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…