Mzuka Wanajamvi!
Tusipochukua hatua leo na sasa hivi vizazi vijavyo havitatusamehe kabisa.
Amkeni sasa hivi na muungane na mimi leo asubuhi kwenye kundi letu la climate change activists la just stop oil na extinction rebellion.
Bila uwoga tukalale na kukakaa barabarani kuelekea magogoni, Samora avenue, mwaikibaki, Sam Nujoma, bibi titi, azikiwe.
Pia tujigundishe daraja la Tanzanite, kijitonyama. Na bagamoyo road lugalo.
Tuwaunge mkono wanaharakati wenzetu huko ulaya wanavyofanya.
Tusiogope hivi ni vita. Hamuoni sasa hivi ukame. Dar mji mkubwa hauna maji. Hakuna umeme. Watu wanaoga na kunywa maji ya jumvi gizani.
Hii yote ni kwa ajili ya tabia nchi. Na shughuli za binadamu zisizofaa.
Majuzi Pakistan mafuriko. Ukame kila Mahali.
Tusipochukua hatua sasa hivi tutawaweka vizazi vyetu vijavyo katika wakati mgumu.
Wote kwa pamoja tukutane tujilaze na tukae barabarani. Hii italeta mwamko chanya na kupanua wigo mpana kupigana na kudhibiti uaribifu wa mazingira .
Tusipochukua hatua leo na sasa hivi vizazi vijavyo havitatusamehe kabisa.
Amkeni sasa hivi na muungane na mimi leo asubuhi kwenye kundi letu la climate change activists la just stop oil na extinction rebellion.
Bila uwoga tukalale na kukakaa barabarani kuelekea magogoni, Samora avenue, mwaikibaki, Sam Nujoma, bibi titi, azikiwe.
Pia tujigundishe daraja la Tanzanite, kijitonyama. Na bagamoyo road lugalo.
Tuwaunge mkono wanaharakati wenzetu huko ulaya wanavyofanya.
Tusiogope hivi ni vita. Hamuoni sasa hivi ukame. Dar mji mkubwa hauna maji. Hakuna umeme. Watu wanaoga na kunywa maji ya jumvi gizani.
Hii yote ni kwa ajili ya tabia nchi. Na shughuli za binadamu zisizofaa.
Majuzi Pakistan mafuriko. Ukame kila Mahali.
Tusipochukua hatua sasa hivi tutawaweka vizazi vyetu vijavyo katika wakati mgumu.
Wote kwa pamoja tukutane tujilaze na tukae barabarani. Hii italeta mwamko chanya na kupanua wigo mpana kupigana na kudhibiti uaribifu wa mazingira .