Ungechagua yupi kati ya hawa?

Ndani ya mwezi amekutambulisha kwao na anataka kuoa mbona aniseed sana! Uogopi hlo?
 
Unajua kuna muda wanawake mnakuwa kama wehu sana sasa kma huna maamuzi na mpango nae huyo jamaa hadi kuja kuomba ushauri kwani ule vyake? Ndio maana mnaishia kutiwa mimba na kuachwa! Ulishaingia kwenye mahusiano mapya kwanini usitulie? Nyie watu wa kuachana mamiezi na kurudiana mtapelekeana ukimwi kuwa makini binti!

Kwanza jamaa siku akijua ulishaanza mahusiano na mtu mwingine atakuacha kwakuwa hakuna mwanaume ana samehe hilo…kama umefanya uamuzi wa kurudi kwa x jiandae kutiwa mimba na kukaa nayo kwenu huyo x kamwe awezi kukuoa!

Usimpotezee mshikaji mpya muda wake maana yeye alikuona mke lakini kumbe kichwa maji…mwambie ukweli ..uondoke!
 
All women are for sale, it's just a matter of acceptable price.
 
Kwanini wewe unafikiliaje?unaonekana ni mjinga mjinga kaaa na uyo ambaye hana ela .....ila pia kama unapenda ela kaolewe na mwenye ela ila nimekuona haujitambui na nimejifunza kitu
 
Kwanini wewe unafikiliaje?unaonekana ni mjinga mjinga kaaa na uyo ambaye hana ela .....ila pia kama unapenda ela kaolewe na mwenye ela ila nimekuona haujitambui na nimejifunza kitu
Umejifunza nini anauza indirectly?
 
Kuna siku kila mwanaume kwa wakati wake atapitia threads zangu na kujuta kutozingatia ninachokiandika.
 
Nimejifunza dont be nice to a woman kama kuwapa ela unakuta huyo mdini wakusali hata hajala tunda halafu huyu binti anavyom act kama malkia ni upuuzi yaan
Akikutunuku usionyeshe U Mr Nice gentleman piga mpaka nyuma hawanaga huruma kwa Mwanaume hao viumbe
 
Ni ukweli mimi hata buku sikupi hata jamaa wakusali akimuoa hata mcheat tu ye mwenyewe haelewi hisia zake
Hapo anawaza Pesa kabla hajavuliwa chupi Pesa zikiisha anamtafuta mwingine mwenye Pesa amvulie chupi mzunguko unaendelea hivyo akiona Pesa anavua Chupi
 
Umalaya utakuponza.
Unataka uolewe na MTU mzima? Unajua huko nyuma ametema wangapi? Ogopa Sana vizee vya mjini.
 
Unajua ninj kuhusu desperation.?

Au ile methali ya " zimwi likujualo.......

Huyo boyfriend wako wapili bado hakujui na wewe humjui, sema mmekutana wote mko desperate.

Mkishaoana kimuhemuhe kikiisha ndio mtasomana vzr.

ANgalizo; simaanishi wa kwanza anakufaa.
 
Vistori vya kutunga vinakera kinoumaaaah yani!

USHAURI: PAMBANA NA HALI YAKO..

PambanaZaidi/CottonandMo
Vistori vya kutunga vinakera kinoumaaaah yani!

USHAURI: PAMBANA NA HALI YAKO..

PambanaZaidi/CottonandMore
Mpaka uone nini ndio ujue ni story ya kweli!? Wote hatuonani na hujui experience yangu, unasemaje story ya kutunga!
 
Asante kwa ushauri. Niliwaza pia kwamba ex tunajuana ila naye utoto mwingi, kununa kwingi. Huyu jamaa mpya ni mkubwa kwangu na yupo matured Ila Ndio yupo serious na anazingatia sana.
 
Umalaya utakuponza.
Unataka uolewe na MTU mzima? Unajua huko nyuma ametema wangapi? Ogopa Sana vizee vya mjini.
Hivi kutoa ushauri bila kutukana ungepungukiwa nini? Experience yangu haiwezi kuwa sawa na yako. Jinsi ya unavyofikiria na kutoa maamuzi ni tofauti na mimi. Why usitoe ushauri tu au ukapita kimya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…