Ungechagua yupi kati ya hawa?

Ungechagua yupi kati ya hawa?

Historia🤣🤣🤣🤣
Ndio maana nikasema nipo dilemma na ninahitaji ushauri. Why mtu akijitokeza kuomba ushauri anachekwa badala ya kusaidiwa kimawazo. Hii inavunja moyo watu na wengine wanachukua maamuzi mabaya ya hata kujiua. Tujifunze kuwa na utu mtu anapoleta jambo lake na tumjibu bila kebehi.
 
Kwanza ungeanza kwa kuamkia wakubwa, na baada ya hapo sina ninachoweza kusahuri binti mpumbavu kama wewe...😠
Yaani huo mwili bora ungebeba kichwa cha mbuzi kuliko makosa yalio fanyika ikabeba mtu.
Alaf skiliza......
Kwanza nitakutandika viboko hadi usahau hiyo historia yako na huyo mvulana... bladi hell....🤨
Asante na ubarikiwe
 
Pesa unataka na mapenzi unataka olewa na wote upate vyote.
Jamaa mpya sio kwamba ni tajiri, ni anatoa kama mwanaume anavyotoa kwa mpenzi wake. Ex tulikaliana kimya kwa miezi kadhaa ila ni mtu tuna miaka kadhaa kwenye mahusiano. Vaa viatu vyangu halafu toa ushauri.
 
Utauza utu wako , mwili wako na muda wako kwa vijizawadi kutoka kwa huyo mtu mzima.
Una uhakika Hana mke huyo? Una uhakika huko nyuma hakua na wapenzi?
Wewe ingia kichwa kichwa uone Moto.
 
Acha umalaya binti
Sijafanya umalaya. Kila kitu kimetokea kwenye muda wake na sasa nipo katikati ya kuchagua kati ya wawili. Mbona ni vitu vinatokea sana, kwanini hapa mnajifanya Kama ni kitu cha ajabu au kigeni!?
 
Utauza utu wako , mwili wako na muda wako kwa vijizawadi kutoka kwa huyo mtu mzima.
Una uhakika Hana mke huyo? Una uhakika huko nyuma hakua na wapenzi?
Wewe ingia kichwa kichwa uone Moto.
Jamani sio mtu mzima. Kanipita miaka michache, haizidi mitano (hajafikisha hata 33). Hajaoa na hana mtoto na sio tajiri ila anatoa kwa kujali tu Kama mpenzi wake. Na sio kwamba ananipa mamilioni, ni hela za kawaida kwa sababu kipato ni cha kawaida sana tu.
 
Natanguliza salamu kweny wanaJF.

Nipo kwenye wakati mgumu mno kwenye maisha yangu kwani maamuzi yangu ndio yataamua future yangu. Nilikuwa na boyfriend wa tangu chuo, kwa miaka miwili na miezi kadhaa tumekuwa wote.

Tumepitia ups and downs nyingi lakini siku zote tunasameheanaga kwa sababu tumekuwa watu wa malengo na kuogopa sana mahusiano mapya, hivyo mara zote hata tugombane vipi lazima tuje kusolve.

Binafsi ni muaminifu sana na hata bf wangu pia sio mtu wa wanawake kabisa maana nina access na simu yake muda wowote na miaka yote hiyo sijawahi kuona kiashiria chochote. Kuhusu suala la afya, tumekuwa very careful na tuna tradition ya kupima every after 3 months or anytime mtu akisuggest.

Mwishoni mwa mwaka Jana tulikuwa tunagombana sana kwa issues tofauti tofauti (sio usaliti) ikapelekea kukaliana kimya kwa miezi.

Mimi nikakutana na jamaa mwingine maana nilishaona mahusiano na mwenzangu yameisha na nimejitahidi sana kusolve ila hakuna solution.

Jamaa niliyemeet naye ni older kwangu kwa miaka michache, very matured na anataka sana serious relationship.

Tukapima na kuanza relationship, in one month jamaa akanitambulisha in his family na anataka kuja kwetu kujitambulisha.

Jamaa anaplay roles zote kama mwanaume, kuanzia kodi, chakula na kila kitu. Anasali sana na anataka sana kuoa na kuwa na familia.

My ex-boyfriend tuliyekuwa tumekaliana kimya kwa miezi minne ananicheck, akitaka turudiane. Kiukweli nampenda kwa sababu tumetoka mbali lakini kinachonifanya niwe dilemma ni kwamba ex-boyfriend hajawahi kunitambulisha kwao, hata kwa ndugu zake na anasema kila kitu ni process, akiwa financially stable atanipeleka. Kuhusu maokoto kiukweli hana ila ni vile tu nina historia naye ndefu ya tangu skuli.

Ungekuwa wewe ungeamuaje? Ungechagua mwanaume unayempenda ila bado hana pesa na hajakutambulisha kwao? Au ungechagua mwanaume anayekupenda na anakuhudumia na yuko tayari kwa familia na ameshakutambulisha kwao?
Picha kwanza mengine yataendelea 😁
 
Kwanza ungeanza kwa kuamkia wakubwa, na baada ya hapo sina ninachoweza kusahuri binti mpumbavu kama wewe...😠
Yaani huo mwili bora ungebeba kichwa cha mbuzi kuliko makosa yalio fanyika ikabeba mtu.
Alaf skiliza......
Kwanza nitakutandika viboko hadi usahau hiyo historia yako na huyo mvulana... bladi hell....🤨
Nani ofu ze abavu 👏👏👏
 
Natanguliza salamu kweny wanaJF.

Nipo kwenye wakati mgumu mno kwenye maisha yangu kwani maamuzi yangu ndio yataamua future yangu. Nilikuwa na boyfriend wa tangu chuo, kwa miaka miwili na miezi kadhaa tumekuwa wote.

Tumepitia ups and downs nyingi lakini siku zote tunasameheanaga kwa sababu tumekuwa watu wa malengo na kuogopa sana mahusiano mapya, hivyo mara zote hata tugombane vipi lazima tuje kusolve.

Binafsi ni muaminifu sana na hata ex bf wangu pia sio mtu wa wanawake kabisa maana nina access na simu yake muda wowote na miaka yote hiyo sijawahi kuona kiashiria chochote. Kuhusu suala la afya, tumekuwa very careful na tuna tradition ya kupima every after 3 months or anytime mtu akisuggest.

Mwishoni mwa mwaka Jana tulikuwa tunagombana sana kwa issues tofauti tofauti (sio usaliti) ikapelekea kukaliana kimya kwa miezi.

Mimi nikakutana na jamaa mwingine maana nilishaona mahusiano na mwenzangu yameisha na nimejitahidi sana kusolve ila hakuna solution.

Jamaa niliyemeet naye ni older kwangu kwa miaka michache (hajafika 35), very matured na anataka sana serious relationship.

Tukapima na kuanza relationship, in one month jamaa akanitambulisha in his family na anataka kuja kwetu kujitambulisha.

Jamaa anaplay roles zote kama mwanaume, kuanzia kodi, chakula na kila kitu. Anasali sana na anataka sana kuoa na kuwa na familia.

My ex-boyfriend tuliyekuwa tumekaliana kimya kwa miezi minne ananicheck, akitaka turudiane. Kiukweli nampenda kwa sababu tumetoka mbali lakini kinachonifanya niwe dilemma ni kwamba ex-boyfriend hajawahi kunitambulisha kwao, hata kwa ndugu zake na anasema kila kitu ni process, akiwa financially stable atanipeleka. Kuhusu maokoto kiukweli hana ila ni vile tu nina historia naye ndefu ya tangu skuli.

Ungekuwa wewe ungeamuaje? Ungechagua mwanaume unayempenda ila bado hana pesa na hajakutambulisha kwao? Au ungechagua mwanaume anayekupenda na anakuhudumia na yuko tayari kwa familia na ameshakutambulisha kwao?
Omba sana Mungu kabla hujafanya maamuzi.
 
Pesa haijawahi kucheat
Penzi halijawahi kulipa bills.
Nawasilisha!
 
Ee Mwenyezi Mungu nisamehe kwa kusoma huu uzi wa kipumbavu ambao una ladha mbaya ya chai isiyo na sukari. Amen
 
Back
Top Bottom