Ungefanyaje kama ndio mwanamke wako.

Ungefanyaje kama ndio mwanamke wako.

kagombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
3,615
Reaction score
1,805
c2edcec0987048c43beea9b83d091179.jpg
 
chaguo lakoooo huyoooooooo atakamaaaaaaa lipumbaaaa
 
Moja ya sifa ya wanawake ni kutopata vipara,,, so that issue never occurs in our daily life!
 
Moja ya sifa ya wanawake ni kutopata vipara,,, so that issue never occurs in our daily life!
Ushahid ninao,

Inatokeagaara chache sana, moja ya walimu wangu wa sekondari waliolua wakinifundisha commerce mmoja mwanamke alikua hana kabisaa nywele mbele mbele , zake zimeanzia kati kati kidogo..

Nilimuona siku moja akijifunga kilemba vizur.
Ila ni kifaaa hatari. Binti mbichiiiiiii[emoji1] [emoji3] [emoji3]
 
Kama ulimpenda kwa dhati toka moyoni huwezi muacha,na ndio maana dini ya uislamu unawakataza wanawake kuvaa mawigi na kusuka rasta,mwanaume unatakiwa umpende mkeo jinsi vile alivyo,
 
Back
Top Bottom