GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kama ungelikuwa Rais wa Congo DRC, ungeweza kuifanya hiyo nchi kuwa na amani?
Naamini suluhisho la Congo DRC lipo kwa Wacongoman wenyewe! Lakini hilo wataweza kulifikia kupitia viongozi wao, kama wasemavyo "wahenga", "Everything rises and falls under the leadership"
Ingelikuwa wewe ndiye Rais, ungelifanyeje ili nchi yako ya Congo DRC iwe na amani ya kudumu?
Naamini suluhisho la Congo DRC lipo kwa Wacongoman wenyewe! Lakini hilo wataweza kulifikia kupitia viongozi wao, kama wasemavyo "wahenga", "Everything rises and falls under the leadership"
Ingelikuwa wewe ndiye Rais, ungelifanyeje ili nchi yako ya Congo DRC iwe na amani ya kudumu?