Onani πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
View attachment 2601883
Hao ndo ma expert wa mwanzo mwanzo hii dunia kwakweli.Onani πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
View attachment 2601883
Ila Mungu Alikasirika akamuua jamaa. Kwa hiyo inavyoonekana kumwagia chini siyo tendo linalompendeza Mungu.Kweli hakuna jipya chini ya jua.
Kumbe kumwagia chini ilianza kitambo.....π
Ila Mungu Alikasirika akamuua jamaa. Kwa hiyo inavyoonekana kumwagia chini siyo tendo linalompendeza Mungu.
Ooohoooo masikini......
Ila huyu Mungu ana hasira na hurjma hapohapo. Akikasirika anaua, ila anasema ukimuomba msamaha anasamehe....
Sasa hapo Onani kakaidi agizo la Mungu akafa, sijui kama angewahi kuomba msamaha asingekufa labda....
na kupiga puli jee....ππ
Yeah!
Jamaa aliuliwa kweli maana alikaidi agizo la Mungu la kumwendelezea ndugu yake uzao kama ilivyokuwa desturi.
Naamini hata kupiga puli ni chukizo vile vile maana unamwaga na kuharibu uzao aliokupa Mungu. Hatari sana aisee!
Kwingineko Mungu haelezeki wala kujulikana mambo yake. Onani anauliwa. Mzinzi mwingine na muuaji kama Daudi anasamehewa...Yote yanafanyika kwa mapenzi yake maana Yeye ni Mungu!ππΏ
Ila kama Onani aliomba msamaha kabla hajakata moto basi atakuwa alisamehewa maana Mungu huyo huyo anayejiita ni moto ulao pia ni mwenye huruma sana!
View attachment 2602078
Kwenye biblia mi ningependa niwe shetani,
Thubutu πMwamba Samsoni, delilah ningemnyoosha