Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ni kwann comment hii imenihuzumisha somehow..Mm ningemwambia tu ukweli km kuachwa acha niachwe tu, mm ni binadamu mtu alipotea kwa miaka kadhaa na wala hakukuwa na mawasiliano sasa mm Malaika kukaa tu kusubiri usichojua kinakuja lini!! Akiniacha itakuwa basi Mungu hakupanga na siwez kuforce.
Na nitaishi tu sabbu ht kipindi hakuwepo niliweza kuishi