Mm ningemwambia tu ukweli km kuachwa acha niachwe tu, mm ni binadamu mtu alipotea kwa miaka kadhaa na wala hakukuwa na mawasiliano sasa mm Malaika kukaa tu kusubiri usichojua kinakuja lini!! Akiniacha itakuwa basi Mungu hakupanga na siwez kuforce.
Na nitaishi tu sabbu ht kipindi hakuwepo niliweza kuishi