Ungekuwa Mhariri Wa Gazeti Ungeweka kichwa kipi mbele na mwisho?

Ungekuwa Mhariri Wa Gazeti Ungeweka kichwa kipi mbele na mwisho?

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
Mambo ni mengi ,binafsi nigeweka hivi: Front page (FP) na last page (LP)

FP: Watoto wasumbua likizo na wazazi wakitamani shule kufunguliwa (kana kwamba wao hawahusiki na malezi)

LP: Kiatu chavutwa nusura kichanike

Tiririka
 
NCHI YAUZWA RASMI. MKOLONI MWARABU AREJEA KWA MLANGO WA NYUMA. ukoloni waanza kurejea tena, watumia mbinu za mikataba kama zamani
 
Back
Top Bottom