Dr. Zaganza JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 1,414 Reaction score 2,181 Jun 10, 2023 #1 Mambo ni mengi ,binafsi nigeweka hivi: Front page (FP) na last page (LP) FP: Watoto wasumbua likizo na wazazi wakitamani shule kufunguliwa (kana kwamba wao hawahusiki na malezi) LP: Kiatu chavutwa nusura kichanike Tiririka
Mambo ni mengi ,binafsi nigeweka hivi: Front page (FP) na last page (LP) FP: Watoto wasumbua likizo na wazazi wakitamani shule kufunguliwa (kana kwamba wao hawahusiki na malezi) LP: Kiatu chavutwa nusura kichanike Tiririka
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jun 10, 2023 #2 Hiyo front ndefu sana
Pang Fung Mi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 6,653 Reaction score 13,919 Jun 10, 2023 #3 Masikitiko Jamhuri ya Tanganyika inauzwa rasmi leo
Dr. Zaganza JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 1,414 Reaction score 2,181 Jun 10, 2023 Thread starter #4 Mad Max said: Hiyo front ndefu sana Click to expand... ya kawaida mkuu
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 18,611 Reaction score 27,615 Jun 10, 2023 #5 NCHI YAUZWA RASMI. MKOLONI MWARABU AREJEA KWA MLANGO WA NYUMA. ukoloni waanza kurejea tena, watumia mbinu za mikataba kama zamani
NCHI YAUZWA RASMI. MKOLONI MWARABU AREJEA KWA MLANGO WA NYUMA. ukoloni waanza kurejea tena, watumia mbinu za mikataba kama zamani