BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Wakuu tubadilishane mawazo hapa
Tusio na mitaji huwa tunakuwa na mawazo mazuri sana ya kibiashara.
Kwa mfano, mimi napenda sana kuagiza shela za harusi kutoka China na Dubai kwakuwa bei zao zipo chini sana.
Gauni zuri la harusi China linauzwa kwa pesa ya kitanzania laki na nusu mpaka laki mbili na mpaka linafika Dar halizidi laki tatu. Lakini wafanya biashara wanauza kuanzia laki tano mpaka milioni moja.
Kukodisha wanaanzia laki na nusu mpaka laki tatu hivyo faida yake ni kubwa, sema tatizo mitaji.
Je, wewe ungekuwa na mtaji ungeagiza bidhaa gani kutoka nje ya nchi.?
Tusio na mitaji huwa tunakuwa na mawazo mazuri sana ya kibiashara.
Kwa mfano, mimi napenda sana kuagiza shela za harusi kutoka China na Dubai kwakuwa bei zao zipo chini sana.
Gauni zuri la harusi China linauzwa kwa pesa ya kitanzania laki na nusu mpaka laki mbili na mpaka linafika Dar halizidi laki tatu. Lakini wafanya biashara wanauza kuanzia laki tano mpaka milioni moja.
Kukodisha wanaanzia laki na nusu mpaka laki tatu hivyo faida yake ni kubwa, sema tatizo mitaji.
Je, wewe ungekuwa na mtaji ungeagiza bidhaa gani kutoka nje ya nchi.?