Ungekuwa wewe ungejibu nini, hapa!

Ungekuwa wewe ungejibu nini, hapa!

Maiga

Member
Joined
Oct 22, 2011
Posts
59
Reaction score
3
To what extent is the revival of EAC a departure or duplication of the defunct EAC?
 
We vip, yan unataka 2kufanyie assignment yako?
 
HUYO NI Dr.Rwaitama nini anakutesa na assignment yake. komaa sana manake yule bwana ni mtata. kwa kukusaidia anza google search au soma vitabu vya wanazuoni kama Baregu, isa shivji na ngware na wengineo
 
hakuna mwenye jibu hapa my dear coz hiyo ni assignment n at the end of the day references zinatakiwa so sidhan kama utaandika reference majina yetu cum on sweety u jus go n read tena read haswaaa
 
Dah! sas unafikir degree inakuja kwa kuungaunga eenh... Komaa, kuvaa joho na kile kikofia ni raha cku ya gradu bt lazima uhustle vya kutosha.
 
Back
Top Bottom