WembeMkali
JF-Expert Member
- Jun 16, 2007
- 282
- 3
Kama ungepewa fursa ya kutoa mawazo yako kwa Mwenyekiti mpya wa AU mheshimiwa Col.Gaddaffi ungemshauri nini?
-Ni upi msimamo wako kuhusu suala la nchi za kiafrika kulipwa fidia na mataifa yaliyowatawala? kama Japani ililipwa/inalipwa fidia na marekani kwa mashambulizi ya mabomu ya kiatomic kuna ubaya gani kwa nchi za kiafrika kutolipwa chochote?
-Ni upi msimamo wako wa kuzikaribisha nchi za Carribean kwenye umoja wetu wa kiafrika.Hasa ukizingatia nchi hizo nyingi zina asilimia kubwa ya watu kutoka Afrika?
-Hivi ni kweli kuwa suala la United states of Afrika ndilo suluhu la matatizo ya Afrika? nini kifanyike kama viongozi wetu hawataweza kuafikiana kuhusu hilo?
-Kuna mataifa mengi ya ulaya ambayo yanainterests kubwa katika bara la Afrika
e.g Ufaransa,Marekani,Ubeligiji,Ureno,Uingereza n.k na kwa miaka mingi yamekuwa ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro ndani ya bara hili.Je ungependa mwenyekiti mpya wa AU achukue hatua gani kuhusu hili hasa ukizingatia kuwa hakuna kiongozi hata mmoja wa kiafrika( labda Mugabe) anaweza kukemea mataifa haya kwa vitendo vyao vya kizandiki.
Wembe.
-Ni upi msimamo wako kuhusu suala la nchi za kiafrika kulipwa fidia na mataifa yaliyowatawala? kama Japani ililipwa/inalipwa fidia na marekani kwa mashambulizi ya mabomu ya kiatomic kuna ubaya gani kwa nchi za kiafrika kutolipwa chochote?
-Ni upi msimamo wako wa kuzikaribisha nchi za Carribean kwenye umoja wetu wa kiafrika.Hasa ukizingatia nchi hizo nyingi zina asilimia kubwa ya watu kutoka Afrika?
-Hivi ni kweli kuwa suala la United states of Afrika ndilo suluhu la matatizo ya Afrika? nini kifanyike kama viongozi wetu hawataweza kuafikiana kuhusu hilo?
-Kuna mataifa mengi ya ulaya ambayo yanainterests kubwa katika bara la Afrika
e.g Ufaransa,Marekani,Ubeligiji,Ureno,Uingereza n.k na kwa miaka mingi yamekuwa ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro ndani ya bara hili.Je ungependa mwenyekiti mpya wa AU achukue hatua gani kuhusu hili hasa ukizingatia kuwa hakuna kiongozi hata mmoja wa kiafrika( labda Mugabe) anaweza kukemea mataifa haya kwa vitendo vyao vya kizandiki.
Wembe.