[emoji117]Mabus ya Mwendo kasi
[emoji117]Treni ya umeme
[emoji117]Mlimani city ihamishiwe pale
[emoji117]B.O.T ijengwe hapo
[emoji117]Ikulu kubwa zaidi ya chamwino ijengwe hapo
[emoji117]Chuo kikubwa cha Afya kijengwe hapo zaidi ya mloganzila
[emoji117]Wasafiri wanaokwenda Tabora,Kagera,kigoma,mbeya,songea,mwanza nk magari yote yawe yanapitia chato kabla ya kuendelea na safari hata kama utazunguka siku mbili.
[emoji117]Maghorofa ya maana kuliko Dar es salaam
[emoji117]Soko la madini lipelekwe hapo
[emoji117]Mbuga za wanyama zote zihamishiwe chato au kabla ya kuingia mbuga youote ya wanyama lazima utembelee Burigi