Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makao makuu ya wizara za madini,nishati na ulinzi.Funguka bila hofu..mimi ningependa kifuatacho kiwe..View attachment 1676289
Ninapenda kwanza Kabsa Uwanja wa Taifa uwe Chato kisha Serikali ijenge chuo kikuu kikubwa duniani cha masuala ya ulozi na uchawi (tunataka wataalamu wetu wa ndani sio kutoka ulaya. Pia naona hata ziwa Tanganyika tulipeleke huko ili watalii wazidi kwenda kuingiza pato la taifa. Na mwisho Napenda Wanyama wote wa jamii ya Paka mfano Simba wahamishiwe huko [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Madada poa wote wa Sinza na Kimboka waende KUREE