Ungepewa masaa 3 ya ziada ktk siku ungeyafanyia nini?

Ungepewa masaa 3 ya ziada ktk siku ungeyafanyia nini?

Ningekasirika
Masaa 24 yenyewe yanachosha hivi ...labda wapunguze 3


Yapunguzwe tena joanah? Unaonekana una nafasi sana, sipati picha yapunguzwe vile watu wanakimbizana na muda.
 
Nisingependezwa sana na hii kitu Unless mshaara wangu ungeongezwa maana ningefanya kazi kwa masaa meng zaid compared to masaa yaliyopo sasa kwa Mwezi.
 
Back
Top Bottom