Ungepewa milioni 12 uwekeze, ungefanya uwekezaji gani? Wafanyabishara waheshimiwe, ajira ni bora zaidi ya biashara

Ningeboresha Biashara Yangu Kukuza Brand Na Kuongeza Mabranch Sina Kingine Cha Kufanyia Zaid Ya Kusubir Faida Nipanue Wigo Wa Biashara
Watu wa dizaini yako wanatafutwa sana na taasisi mbali mbali za fedha kwa ajili ya kupewa mikopo

Unasubiri nini mkuu, nenda kakope bank kuza mtaji wako na endelea kupanua biashara yako
 
Ningenunua SOLANA.
 
Umenena vyema mkuu
 
Unauzoefu kwenye mifugo gani mkuu..? Mifugo ipi ambayo haitumii gharama kubwa za uendeshaji?
 
Unauzoefu kwenye mifugo gani mkuu..? Mifugo ipi ambayo haitumii gharama kubwa za uendeshaji?
Me mfugaji mkubwa sana wa Kuku, Mbuzi na Pigs.
Mbuzi ukipata shamba zuri hawana gharama kubwa.
 
Eb nipe idea ya hii biashara ndugu nipo tayari kupata mawili matatu
 
Naomba elimu zaidi kuhusu SOLANA tafadhali.
SOLANA ni sarafu ya kidigitali ambayo unaweza kununua sasa na kuuza baadae ikifika thaman unayotaka wewe. Kwa sasa SOL inauzwa $140. Kwa sasa ni sarafu ya moto sana na yenye thamani zaidi ambayo ukinunua uwezi juta.
Unaweza angalia video youtube kuhusu SOLANA ili ujilizishe kabla ya kuweka pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…