Ungepewa "umoderator" leo, nani ungeanza kumpiga "ban"?

Kwanza tuanze na wewe je,ni Bikira kweli au unazingua ............ Maana kama unaongopa basi ningeanza na wewe.
 
Ningeanzisha kampeni ya kuondoa BAN......post zisizo na maudhui mazuri ziwe zinafutwa tu.

Unapompiga BAN mtu mwenye ID 10+ ni sawa na kukojolea Mbingu, lazima mkojo ukurudie.
Unajua maana ya IP ban lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…