Ungepewa "umoderator" leo, nani ungeanza kumpiga "ban"?

Ungepewa "umoderator" leo, nani ungeanza kumpiga "ban"?

bikira latifah

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
667
Reaction score
1,850
Aisee mimi ningeanza na hawa
1.Monnica
2.Ladyj
3.Lizaboni

Wana wivu kweli hawa[emoji2] [emoji2]

Je wewe ungeanza na nani?

1478257010386.jpg
 
Kwanza tuanze na wewe je,ni Bikira kweli au unazingua ............ Maana kama unaongopa basi ningeanza na wewe.
 
Ningeanzisha kampeni ya kuondoa BAN......post zisizo na maudhui mazuri ziwe zinafutwa tu.

Unapompiga BAN mtu mwenye ID 10+ ni sawa na kukojolea Mbingu, lazima mkojo ukurudie.
Unajua maana ya IP ban lakini?
 
Back
Top Bottom